iqna

IQNA

geert wilders
Chuki dhidi ya Uislamu
IQNA - Mwanasiasa Mholanzi mwenye chuki dhidi ya Uislamu Geert Wilders amelazimika kufuta mpango wake wa kupiga marufuku Qur'ani Tukufu na misikiti nchini Uholanzi.
Habari ID: 3478170    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/01/09

Chuki dhidi ya Uislamu
UHOLANZI (IQNA)- Uchaguzi mkuu wa Uholanzi ulifanyika Jumatano, Novemba 22 nchini humo ili kubaini nani ataongoza serikali ijayo ambayo inapaswa kuchukua mamlaka nchini baada ya kuondoka Mark Rutte, ambaye amekuwa waziri mkuu kwa miaka 13.
Habari ID: 3477945    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/11/25

TEHRAN (IQNA)-Twitter imeripotiwa 'kusimamisha kwa muda' akaunti ya kinara wa siasa kali za mrengo wa kulia wa Uholanzi Geert Wilders kwa kukiuka sheria za jukwaa kuhusu matamshi ya chuki baada ya kushambulia Uislamu tena.
Habari ID: 3475170    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/04/26

IQNA:Matokeo ya uchaguzi wa bunge Uholanzi yanaonyesha mwanasiasa mwenye misimamo mikali na chuki dhidi ya Uislamu amepata pigo.
Habari ID: 3470898    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/03/16

IQNA-Mbunge mwenye chuki dhidi ya Uislamu nchini Uholanzi amepatikana na hatia ya kuwatusi watu wenye asili ya Morocco na kuwabagua.
Habari ID: 3470728    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/12/09